Posts

Showing posts from May, 2017

UZURI WA MJI WA KILWA

Image
DOLA YA MRIMA (KILWA) ILIOKUWA TAIFA KUU AFRIKA KARNE YA KUMI (1070 A.D) No comments Mjii wa Kilwa ni mji maarufu sana barani afrika kwa sifa zake sio kwamba kwa sababu ya jina lake au ukarimu wa watu wake bali ni kwa historia yaketoka zama za kale za historia ya ulimwengu na habari za wanahistoriatokaduniani kote. Bila shaka binafsi sina shaka kabisa na hilii kwa sababu nilipata bahati ya kutembelea iliokuwa mijii kazaa ya Dola la Mrima yani miji ya kilwa, Tanga( mta'nga'ta), Sadani, Kaole, Zanzibar,Mombasa na Bagamoyo lakin pamoja na kujionea utajili wa kihistoria niliojionea sikusita kabisa kukubaliana na historia hiyo ya Dola la Mrima lililokuwa likipatikana pwani ya Azania na ndio Dola lililokuwa dola kuu Afrika kiuchumi, kijeshi, kisiasa na kiteknolojia. Pia ndio dola lililokuwa na ushawishi katika ulimwengu wa zama hizo uliokuwa ukiongozwa na Dola la Rumi na baadae Dola la Hermani (ujerumani). Taifa la Mrima ni Dola lililo kuwa likipatikana mashaliki ya ba
Image
 HARMORAPA   Since Artist Harmorapa has entered the music to start to be compared to an artist Harmonize, every time the rapper has been entered on the 'headline' wide and discussed by many artists the biggest in the country, others were pleased with his actions while others mocked him and see that he deserves to be a musician. He started as a joke has to be compared with the bright label WCB minor then starts to penetrate into the ears of love entertainment. We are referring here HarmoRapa  is predicted to major in music of bongo Fleva Time here. His first single not divide a passport is placed on the map and start to be known, though it did not properly market. This Time around HarmoRapa has come up with another hit in Town goes by the name "kiboko ya mabishoo" Many thought if Jokes but relatives had become serious now after signing a deal with a large imaging technology bongo Slides Visual less Mx Carter. Also contusion with producer p funk