Posts

Showing posts from September, 2017

KATIBA YA KIKUNDI

KATIBA YA VACK GROUP SEHEME YA 1. UTANGULIZI 1 JINA LA KIKUNDI VACK GROUP IBARA YA PILI: 2: TAFSIRI YA MANENO MBALIMBALI  2.1 Kikundi kina mkusanyikon wa watu 2.2 Wanachama wa kikundi wana mtazamo moja  2.3 Wanadhamira moja katika kujenga taifa IBARA YA 3. UTANGULIZI Wanachama wa kikundi cha VACK GROUP tumejipanga kufanya kazi kwa ushirikiano ili kufikia malengo yetu IBARA YA 4. KATIBA Katiba ni kanuni ya nchi au taasisi iliyopangwa kwa makubaliano maalumu yanayosimamia sheria kufuata miongozo yake bila kwenda kinyume.Kwenda kinyume cha hapo ni kosa. IBARA YA 5. JINA LA KIKUNDI Kikundi kinaitwa VACK GROUP  IBARA YA 6. LUGHA RASMI YA KIKUNDI Lugha rasmi ya kikundi ni Kiswahili na kingereza. IBARA YA 7. OFISI KUU Makao makuu ya kikundi yatakua ndani ya Mbinga mjini. IBARA YA 8. ENEO LA UTENDAJI WA KAZI  Itakuwa ndani ya wilaya ya mbinga IBARA YA 9. KANUNI ZA KIMAADILI  9.1 Kuheshimiana wenyewe kwa wenyewe na viongozi wa kikun

mhutastali wa vack group

MUHTASARI WA KIKUNDI AGENDA :  a) Kufungua kikao  b) Kuanzisha kikundi c) Kucchagua jina la kikundi d) Kufungua akaunti benki e) Kufunga kikao  A) KUFUNGUA KIKAO  Mwenyekiti wa muda alifungua kikao mnamo saa saba tarehe 6/9/2017 baada ya kuona mahudhurio yanaridhisha B) MWENYEKITI KUFUNGUA KIKUNDI  Mwenyekiti wa muda ataweka wazi bayana juu ya kuanzisha kikundi kwa ajili ya shughuli za kimaendeleo.Dhamira ya kikundi ni kutoa elimu ya ujasilimali mfano,kuandaa matamasha ,kutoa elimu juu ya magonjwa mbalimbali mfano HIV,Malaria n.k ,Elimu ya biashara ndogo ndogo na kilimo .Kwa kufanya hivyo wataweza kuongeza kipato na kujitangaza zaidi ili kufikia lengo la sera ya mheshimiwa Raisi wa nchi Mh. JOHN POMBE MAGUFULI Tanzania ya viwanda. Wote walifikia mawazo hayo na kuamua kuchagua viongozi, Uongozi ulikuwa kama ufuatao:  i) Godluck H. Kawonga: Mwenyekiti  ii) Geofrey Matembo: Mwasibu  iii) Festo Germanus Mbwilo: Katibu  Mwenyekiti aliyechaguliwa atashiri