Information technology (IT) is the design, development, implementation, support, and management of computer hardware and software applications. An IT professional is knowledgeable about computer systems and operating systems. A computer system consists of hardware and software components. Hardware is the physical equipment such as the case, storage drives, keyboards, monitors, cables, speakers, and printers. The term software includes the operating system and programs. The operating system instructs the computer how to operate. These operations may include identifying, accessing, and processing information. Programs or applications perform different functions. Programs vary widely depending on the type of information that will be accessed or generated. For example, instructions for balancing a checkbook are very different from instructions for simulating a virtual reality world on the Internet. COMPUTER CASE The computer case provides protection and support for the internal
MKATABA WA KUPANGA NYUMBA/ CHUMBA KATIKA NYUMBA YA BI ZAINABU MUSSA M’BISI ILIYOKO ENEO LA KISUTU MTWARA MJINI. Makubaliano yaliyobainishwa hapo chini yamefanyika hapa Mtwara siku ya tarehe……….mwezi wa…………….mwaka………………… Baina ya Bi Zainabu M. M’bisi ambaye katika mkataba huu anajulikana kama mmiliki halali wa nyumba iliyoko katika mtaa wa kisutu kiwanja namba…………………Mtwara. Na Bw/Bi………………………………………………….atakayejulikana katika mkataba huu kama mpangaji kwa mwenye nyumba kwa kuwa nia ya mwenye nyumba ni kupangisha watu/mtu katika nyumba yake, kwa mpangaji aliyetajwa hapo juu ambaye ameomba apate nafasi ya chumba/ nyumba hii. Kwa kuwa mpangaji ameomba apange chumba/ nyumba kwa matumizi ya kuishi/ kulala humo na mwenye nyumba amekubali kumpangisha mpangaji kama alivyoomba. Hivyo basi kwa mkataba huu pande zote mbili zimekubaliana kama ifuatavyo;- 1. Kwa malipo ya pango yaliyoainishwa hapa chini mwenye nyumba anampangisha mpangaji chumba/ nyumba. 2. Kipindi cha
Unominishaji, habwe na kavanja [2007] ni hali ya kuunda nomino kutoka katika kategolia nyingine ya neno. Kategolia hizi zinaaweza kuwa kitenzi, kivumishi, au nomino yenyewe. Hali hii ya uniminiashaji husababisha kuwepo kwa mofimu changamano zenye mofimu nying ndani yake. Tuki {1981} ni kutoa neno katika kategolia moja na kuliingiza katika kategolia ya nomino. Kwa ujumla unominishaji ni kitendo cha kubadili neno kutoka kwenye kategolia nyingine ya neno na kupeleka katika nomino.kwa hiyo mchakato huu hufanywa ili kupata nomino za lugha ya Kiswahili ,unominishaji pia husaidia sana katika kuongeza misamiati katika lugha ya Kiswahili hivyo basi tuangalie mchakato wa unominishaji kutokana na kategolia mbalimbali za lugha ya Kiswahili isipokua kategoria ya kitenzi ,na nomino yenyewe michakato hio ipo kama ifuatavyo hapo chini; v Unominishaji katika vivumishi Kivumishi – nomino Unominisaji huu wa kivumishi hubadilika na kuwaa nomino Tunaunda nomino kutokana na vuvumu
Comments
Post a Comment