International Law The body of law that governs the legal relations between or among states or nations.To qualify as a subject under the traditional definition of international law, a state had to be sovereign: It needed a territory, a population, a government, and the ability to engage in diplomatic or foreign relations. States within the United States, provinces, and cantons were not considered subjects of international law, because they lacked the legal authority to engage in foreign relations. In addition, individuals did not fall within the definition of subjects that enjoyed rights and obligations under international law. so there are two types of international law which are public and private international law. Public International Law: Public International laws have been designed to examine the relationships between the countries and states and they govern the binding rules of the international community to avoid any dispute. Public International laws genera...
MKATABA WA KUPANGA NYUMBA/ CHUMBA KATIKA NYUMBA YA BI ZAINABU MUSSA M’BISI ILIYOKO ENEO LA KISUTU MTWARA MJINI. Makubaliano yaliyobainishwa hapo chini yamefanyika hapa Mtwara siku ya tarehe……….mwezi wa…………….mwaka………………… Baina ya Bi Zainabu M. M’bisi ambaye katika mkataba huu anajulikana kama mmiliki halali wa nyumba iliyoko katika mtaa wa kisutu kiwanja namba…………………Mtwara. Na Bw/Bi………………………………………………….atakayejulikana katika mkataba huu kama mpangaji kwa mwenye nyumba kwa kuwa nia ya mwenye nyumba ni kupangisha watu/mtu katika nyumba yake, kwa mpangaji aliyetajwa hapo juu ambaye ameomba apate nafasi ya chumba/ nyumba hii. Kwa kuwa mpangaji ameomba apange chumba/ nyumba kwa matumizi ya kuishi/ kulala humo na mwenye nyumba amekubali kumpangisha mpangaji kama alivyoomba. Hivyo basi kwa mkataba huu pande zote mbili zimekubaliana kama ifuatavyo;- 1. Kwa malipo ya pango yaliyoainishwa hapa chini mwenye nyumba anampangisha mpangaji chumba/ nyumba. 2...
KATIBA YA VACK GROUP SEHEME YA 1. UTANGULIZI 1 JINA LA KIKUNDI VACK GROUP IBARA YA PILI: 2: TAFSIRI YA MANENO MBALIMBALI 2.1 Kikundi kina mkusanyikon wa watu 2.2 Wanachama wa kikundi wana mtazamo moja 2.3 Wanadhamira moja katika kujenga taifa IBARA YA 3. UTANGULIZI Wanachama wa kikundi cha VACK GROUP tumejipanga kufanya kazi kwa ushirikiano ili kufikia malengo yetu IBARA YA 4. KATIBA Katiba ni kanuni ya nchi au taasisi iliyopangwa kwa makubaliano maalumu yanayosimamia sheria kufuata miongozo yake bila kwenda kinyume.Kwenda kinyume cha hapo ni kosa. IBARA YA 5. JINA LA KIKUNDI Kikundi kinaitwa VACK GROUP IBARA YA 6. LUGHA RASMI YA KIKUNDI Lugha rasmi ya kikundi ni Kiswahili na kingereza. IBARA YA 7. OFISI KUU Makao makuu ya kikundi yatakua ndani ya Mbinga mjini. IBARA YA 8. ENEO LA UTENDAJI WA KAZI Itakuwa ndani ya wilaya ya mbinga IBARA YA 9. KANUNI ZA KIMAADILI 9.1 Kuheshimiana wenyewe kwa weny...
Comments
Post a Comment