jinsi ya kutumia mitandao ya kijamii

jinsi ya kutumia mitandao ya kijamii vijana tunashauriwa kutumia mitandao ya kijamii ili kuendele dhana ya uchumi wa viwanda kupitia sera ya vijana na mtamzamo wa rais wetu. unaweza kutumia kwanjia ya kuwapasha watu habari kama jinsi ya kupata ushauri wa kibiashara mfano watu wengi wanakuwa na biashara lakin wanakota kuendana na mahitaji ya watumiaji hivyo kutumia fursa hivyo unaweza kutoa taarifa kwa umma juu ya kupata mahitaji bora toka kampuni tofautitofauti na wew ukapata kipata njia ya pili ni kutangaza bidhaa mabalimbali kama juice za matuunda ,magari na vitu mbalimbali hivyo kijna wa kitanzania unaweza ukatumian nafsi hivyo kukuwapa watu habari nakupata kamisheni kwa kila utapata mteja kupitia wewe hivyo tunatakiwa kufanya hivyo pia tuweze kujinusuri kupata madhara mbalimbali pia matatizo ambayo yanaweza kupatikana kutoka na matumizi mbaya ya mitaandao ya kijamiimfano fecebook ni pamojana kupata home mbalimabali ugonjwa ,kukata tamaaa na kutumia pesa vibaya .

Comments

Popular posts from this blog

Information technology

MKATABA WA KUPANGA NYUMBA

Unominishaji,