MUHTASARI WA KIKUNDI
AGENDA:
a)      Kufungua kikao
b)Mwenyekiti kusoma maendeleo ya kikundi
c)Kubadili watia sahihi bank
d)Kufungakikao

A)    KUFUNGUA KIKAO
Mwenyekiti waatafungua kikao mnamosaa 4;00 baada ya kuona mahudhurio yanaridhisha.
B)    MWENYEKITI KUSOMA MAEDELEO YA KIKUNDI
Mwenyekiti alisoma maendeleo ya kikundi .Mwenyekiti alioyesha hali ya kuto lizishwa na wajumbe katika mchango na nia ya kuendeleza kikundi kutokana na wajumbe baadhi kuto toa michango wala bila kutoa taarifa hivyo mwenyekiti ,aliwaomba wajumbe kurejea katiba juu ya safi ya uwanachama ,
 Wajumbe waliomba katiba itekelezwe juu ya wajumbe ambao hawatimiza wajibu na bila kutoa taarifa yoyote .
C)    KUBADILI WATIA SAHIHI BANK
Mwenyekiti alitoa mwongo juu ya badili wa tia sahihi bank sabau miongoni mwao wamekosa sifa za kuwa wanachama wa kikindu kutoka na katiba hiyo wajumbe walipendekeza kuwa ANDREA MAPUNDA kuwa katibu na kuwa mingoni watia sahihi
Wajumbe walipendekeza wati sahihi wawe wawili toka kwenye wanee
E)KUFUNGA KIKAO
Mwenyekiti alifunga mkutano mnamo saa 6;00
MAHUDHURIO

JINA LA MWANACHAMA
WASIFU
SAHIHI
1
GODLUCK H. KAWONGA
MWANYEKITI

2
ANDREW MAPUNDA
MUHASIBU

3
DICKSON   NYERA
MWANACHAMA

4
JANUARY MAPUNDA
MWANACHAMA

5
CHESTER   MPUTI
MWANACHAMA

6
SHARIF MALKI
MWANACHAMA

7
KERBIN NDUNGURU
MWANACHAMA

8
PROSPER NDIWU
MWANACHAMA





Comments

Popular posts from this blog

Information technology

MKATABA WA KUPANGA NYUMBA

Unominishaji,