Fiesta 2018 fursa :fikra mpya mtwara
Fursa  mtwra kupitia kaulimbiu ya fikra mpya iliweza kuanisha fursa nyingi chini ya mwezeshaji Hassan ngoma huku mgeni rasmi mkuu wa mkoa ndugu   GELASIUS    BYAKAWANMWA   pia kulikuwa na watalaamu wa kilimo toka taasisi ya utafiti naliandele ndugu Kapinga 
vijana wakishiriki katika fursa
Hassan Ngoma mtangazaji wa clous tv kipindi cha 360 akiwa na wanachuo toka sauti(mtwara) baada ya mafunzo 
HASSAN NGOMA ( huyo wa katika)

FURSA AMBAZO LILIWEZA KUPATIKA
·         Kupitia zao la korosho linaweza kutimika katika matumizi mengi licha ya kutumika kwa kuuza tu .
a)Lina weza kitumika kwa kutengeneza  wine,juice,dawa,chakula cha mifugo,jam,siagi na kama chanzo cha nishati
·         B)Kitumia zao la mihogo unaweza kupata starch,unga wa lishe  kwa maelezo ya piga 0716743515 kujua zaidi
·        C) Pia uuzajia wa nguo  kwa bei ya jumla kutoka kariakoo maana kuna watu wanatoka msumbiji kwenda huko hivyo kwa kufanya hivyo utaweza kupata zaidi wateja  kwa maelezo zaidi wasiliana  na 0786410406
·        D) Ujenzi wa choo bora
·        E) Utengenezaji wa mapambo kupitia chupa za wine
·        G) Mafunzo yanayotolewa na agkann foundation juu ya kilimo na ufugaji pia mambo ya alizeti ambao zao la faida sana kwa maelezo faidi  071261800
·         Utengenezaji wa mafuta ya nazi kwa maelezo zaidi 0713908071


Kwa mawasaliano zaidi   Vodacom :0758315397
Facebook  bedah g vack
Instagram : Vack production

Barua pepe :goodluckkawonga@gmail.com

                                  

Comments

Popular posts from this blog

Information technology

MKATABA WA KUPANGA NYUMBA

Unominishaji,