FURSA  MKOANI WA MTWARA 2018
 FIESTA FURSA:FIKRA MPYA
Mkoa wa mtwara ni mmoja ya mikoa yenye fursa kubwa sana licha ya kuwa na zao maarafu la korosho kuna fursa nyingi nyingi pamoja na kuzungukwa na nchi ya msumbiji,kisiwa cha komoro pia maeno ya mtwara mpaka sasa nusu tu ndio limetumika.
Mkuu wa mkoa wa mtwara ndugu  GELASIUS    BYAKAWANMWA                                           ameeleza kubwa kila mwaka msimu wa korosho wanapokea wageni sana hivyo unaweza kupata fursa nyingi ,






Afisa kutoka  taasisi ya uchunguzi na utafiti wa mazao ya kilimo na biashara kutoka NALIANDELE  Ndugu KAPINGA aleza fursa kubwa kutokana na zao la korosho

ZIFUTAZO NI FURSA ZINAZOTOKANA NA ZAO LA KOROSHO
·         Kutengeza gundi
·         Kutengeza  mkaaa
·         Kutengeza siagi
·         Kutengeza wine
·         Kutengeneza chakula cha kuku
·         Kutengeza dawa
·         Kutengeza juice
·         Kutengeza maziwa

Mafunzo ya kutengeneza bidhaa zote yanatolewa na TAASISI YA UTAFITI YA NALIENDELE mkonani  mtwara .
Kwa  mawasliono zaidi wasiliana mkurungezi wa taasisi ya utafiti  ndungu kapingasHivyo kuna fursa nyingi zaidi katika jambo hilo licha kuuza korosho tu
Licha hiyo mkuu wa mkoa alihimiza sana juu ya matumiza ya tehema katika swala la kutufuta masoko licha ya watumiaji wengi kutumia vibaya .

Kwa mawasaliano zaidi   Vodacom :0758315397
Facebook  bedah g vack
Instagram : Vack production
Barua pepe :goodluckkawonga@gmail.com








                          

Comments

Popular posts from this blog

International Law

KATIBA YA KIKUNDI