HATUA 10 ZA USAJILI WA KAMPUNI BRELA
Hatua #1: Taarifa za msajili

1.Kitambulisho cha Taifa kwa wenyeji na Passport kwa wageni
Godluck kawonga  ntanzania
2.         Simu ya kiganjani
             Namba  :- 0758315397
3.         Barua pepe yaani email
 Goodluckkawonga@gmail.com
Hatua #2: Taarifa za kampuni (Company Information)
1.                  Aina ya kampuni kama ni ya hisa au isiyo na hisa, ya binafsi au ya uma nk
                       Ya hisa
2.   Jina la kampuni
                            VACK AGENT AND DISTIBUTION CAMPANY
2.                  Kazi zitakazokuwa zikifanywa na hiyo kampuni tarajiwa (Activity description)
           i) Kutafuta masoko  ya  bidhaa  za wajasilimai
           ii)Kilimo na ufungaji 
           iii)kuongeza dhamani bidhaa za wajasilimali
           iv) kuwezesha wajasilimali kupata elimu ,vifaa na mtaji
Hatua #3: Ofisi za kampuni (Office Location)
1.         Aina ya eneo (Aidha limepimwa au la)  mbinga mjini ,Ruvuma ,Tanzania
2.         Kama halijapimwa tayarisha anuanii ya makazi yenye mfumo huu, jina la Mkoa, Wilaya, Kata, kijiji, kitongoji na ueleze kama eneo lipo karibu na alama zipi ambazo hazihamishiki kama shule ya msingi nk. Usiweke alama ambazo hazina uhakika wa kudumu hapo maana brela watazikataa.
3.         Kama limepimwa tayarisha yafuatayo: Jina la Mkoa, Wilaya, Kata, kijiji/mtaa, barabara, namba ya kiwanja, namba ya kitalu na namba ya nyumba, sanduku la posta, simu ya ofisi/kiganjani na barua pepe (email)
Hatua #4: Shughuli za Kampuni (Company Activities)
i)kuuza nguo  za dukani na za mtumbani
ii)uwakala wa mpesa na kusajili laini
iii)kukopesha ela kupitia kikundi
iv)udalali wa vitu mbalimbali
v)kufuga na kuuza mafazo na mifugo
vi)ukwala wa kuuza vitu ya dukani 
vii)huduma za komputa na stationary

           Taja shughuli za kampuni kama ilivyoorodheshwa kwenye mfumo wa ISIC Classification
Hatua #5: Taarifa za Wakurugenzi (Directors Information)

1.                  Aina ya mkurugenzi kama ni mtu au taasisi
Mkurungezi :    GODLUCK HYASINT KAWONGA
2.                  Asili yake kama ni mwenyeji au mgeni
   MTANZANIA
3.                  Kitambulisho cha taifa kama ni mwenyeji au passport kama ni mgeni  
      NIDA                 TANZANIA
      4.   TIN     TRA
5.         Simu ya kiganjani   NAMBA  :- 0758315397
6.         Barua pepe yaani email :- goodluckkawonga@gmail.com
7.         Anuani ya makazi kwa kila mkurugenzi kwa kufuata mfumo wa anuani ya ofisi hapo juu
   

  Mkurugenzi wa  vack agent and ,
   distribution  company  limited,
 P.O BOX   1120,
MBINGA .

Hatua #6: Taarifa za katibu wa kampuni (Company Secretary)

1.         Aina ya mtu kama ni mtu asili au taasisi  GEOFREDY MAPUNDA
2.         Asili yake kama ni mwenyeji au mgeni       MTANZANIA
3.         Kitambulisho cha taifa kama ni mwenyeji au passport kama ni mgeni
4.         Simu
5.         Barua pepe - email
6.         Anuani ya makazi kwa kila mkurugenzi kwa kufuata mfumo wa anuani ya ofisi hapo juu

Hatua #7: Taarifa za wanachama/wenye hisa (Subscribers Information)
1.                  Aina ya mtu kama ni mtu au taasisi
i)Mwanachama anatakiwa aweze na huwezo wa kutoa hisa
ii)Kutafuta masoko na kuwa mbunifu katika kufikisha malengo
iii)Awe mjasiliamali
2.         Asili yake kama ni mwenyeji au mgeni  WATANZANIA
3.         Kitambulisho cha taifa kama ni mwenyeji au passport kama ni mgeni
4.         Simu 0758315397
5.         Barua pepe – email   goodluckkawonga@gmail.com
6.         Anuani ya makazi kwa kila mkurugenzi kwa kufuata mfumo wa anuani ya ofisi hapo juu
        
Mkurugenzi wa  vack agent and ,
   distribution  company  limited,
 P.O BOX   1120,
MBINGA .

Hatua #8: Viambatanisho (Attachments in PDF)
Viambatanisho vinavyotakiwa kuambatanisha kwenye maombi (zote katika pdf) ni:-

1.         Memorandum and articles of association iliyosainiwa na wanachama/wenye hisa pamoja na mwanasheria wa uma (Notary Public)
2.         Form 14b iliyosainiwa na mmoja wa wakurugenzi na mwanasheria wa uma (Notary Public)
3.         Ethics and Integrity Forms iliyosainiwa na mmoja wa wakurugenzi
4.         Company consolidated form iliyosainiwa wakurugenzi wote na katibu wa kampuni
Hatua #9: Ada za usajili na kufaili (Different Fees)
Aina za ada ni kama ilivyoonyeshwa hapa chini

1.         Kusajili kampuni
2.         Kuhifadhi nyaraka na
3.         Stamp Duty
Hatua #10: Namna ya kulipa ada (Payment Methods)
Malipo ya ada yanafanyika kwa njia kuu mbili ambazo ni

1.         Simu ya mkononi kwa kutumia akaunti za MPESA, Tigo Pesa, Airtel Money na HaloPesa
2.         Kulipa moja kwa moja benki kwenye akaunti zilizopo CRDB au NMB
Kumbuka: Utaratibu wa malipo aidha kwa simu au benki utapewa ukishafikia hatua husika ya malipo.


Comments

Popular posts from this blog

International Law

KATIBA YA KIKUNDI