MAFUNZO YA UJASIMALI



Mafunzo ya via jiandarie ajira
LENGO LA  MAFUNZO
Lengo la mafunzo ni kuwezesha kijana kuweza kujiaji baada ya kupata elimu .pia mafunzo yanatolewa katika hatua tatu

Kupata mafunzo
Malezi
Mkopo

Mada kuu katika mafunzo
1.      Stadi za maisha
2.      Elimu ya ujasimali

MAFUNZO YAMEKUWA YAKIANDESHWA NA TAASISI MBALIMBALI

SIDO 
Kazi za sido
·         Kutoa mafunzo
·         Kutafuta makoso
·         Mikopo

MFUKO WA RAIS WA KUJITEGEMEA
KAZI ZAKE
·         Kutoa  mikopo kwa vikundi na mafunzo
Chama cha wafanyabiashara
Kinatoa mikopo midogo mdogo

HALMASHAURI
Chini ya afisa maendeleo  wanatoa mikopo kwa wajasiliamali walio kwenye vikundi



Comments