Mafunzo ya vack group
Vack group inatoa mafunzo ya ujasiliamali katika
kukuuza ujumi wa wajasilimalie katika kuendeleza uchumi wa
vijana Tanzania .Mafunzo hayo yanatolewa na mwenyekiti ndungu MW. Godluck kawonga kwa kufuata mfumo
wa via jiandelie ajila yenye malengo y
kumpa nafasi kijana katika kuanda
mazingira ya kupata ajira katika maisha
Via jia nadalie ajili hipo inchini tanzanaia
ikidhaminiwa na master card na youth foundation development
Pia mafunzo yapo pamoja na taasisi zingine za
selikali kama sido,teccc,ofisi ya raisi ,maendeleo ya jamii pia chama
cha wafanyakazi
Nafasi wa wasiliki katika mafunzo hayo
Mfuko
wa raisi
Kutuoa mafuzo ya kuendesha biashara
Kutoa mkopo na kufutilia mwenendo wa mjasilimali
Vigezo kunzia miaka 18 –45
Mkopaji lazima awe katika utaratibi wa kikundi
Riba ya mkopo huo ni asilimia moja
Wannatoa mkopo kwa wajasiliamali wanzalisha na sio
uchuuzi wa mali
Hukana dhaman a bali kikundi ndio dhamana
Sido
Inatoa elimu
ya kukuza biashara na tekenolojia kwa mjasilimali
Wanatoka mkopo wa vifaa ya kufanyika kazi katika
ujasilimali mfano mshine ya kukoborea
Pia mkopo wa
ela
TECC
Kusimamia mafuzo,malezi na mkopo
Maendeleo ya jamii
Fursa
mikopo 4% riba asimilia 10 muda
mwaka mmoja pia kurudisha kila baada
miezi 3
Utaribiribu ni kusajili kikindi
Kuanzishwa kwa via jiandalia ajira 2016-2020
unahudumia watu 30
Lengo i) ujasiamali
na standi
ii)Kuendesha
na kujua tabia za jamii
muundo
wa mafuzo ya via
i)utambulisho
ii)mafuzo a)stadi za maisha
b)elimu ya ujasimali
mambo makuu mnne kuzingztia ili kuwa mjasilimali
mzuri
i)kujua sababu na lengo la kufanya
ii)elewa uwezo ,ujunzi uliokuwa nao
ii)mahusiono watu kama kifamilia,ndugu na marfiki
iv)kutumia muda na fikra na uwekezaji katika lengo
MADA
i)mpango wa maisha
a)kubainisha malengo binafsi
b)kuja faida za kupanga
c)kubainisha modeli za smart ya uwakaji
d)kubanisha hatua za uwekaji malengo
e)kubuni mipango mingine malengo
d)kubuni mpango ili kufika smart ndani ya kikundi.
Modeli
ya smart
s-mahususi
m.lipimike
a.linalotekelezeka
r.linalodhihilika
t.muda maalumu
ii)kuweka malengo
mfano ;kufungua kampuni
iii)uwajibikaji
mambo
ya kuzingatia
i)jitahida
ii)wasaidie wangine
iii)kukubalia matokeo ya utendo wako
iv)zingatia sheria
Comments
Post a Comment