MATUMIZE BORA YA MUDA KWA MJASILIMALI


MATUMIZ  BORA YA MUDA
Mjasiliamali anatakiwa azingatie matumizi mazuri ya muda ili kuweza kufika malengo yake kwa haraka na kwa mpango nzuri
Jambo kuu la kuzingatia
Kuweka kipao mbele

MAMBO MANNE ZA KUZINGATIA KATIKA UJASILAMALI
·         Kuwa tayari .Mjasilimali lazima awe tayari kwa jambo ambalo anategemea kufanya ita mwezesha kukabiliana na changamoto zote za kazi yake
·         Ujuzi na utafiti .Ujuzi ni utaalama ambao mtu anao katika kufanya jambo fulani. Hivyo unatakiwa uwe na ujuzi ili kuweza kupunguza matumizi ya pesa na kuongeza kipato
·         Kuwekeza muda ,pesa  ,fikra .Ili kuweza kufanikiwa untakiwa kuwekeza katika muda (kufanya kitu kwa mpango) na pia kuweka akiba katika kufika malengo(mtaji) pia fikra ina husika na jinsi ambayo unaweza kuboresha wazo lako katika kuendeleza maisha au biashara
·         Kujifunza .Mjasilimali anatakiwa kujifunza mara nyingi vitu mbalimbali kutokana na mabadiliko ya maisha mfano matumizi ya tehema  kama computer na simu pia kuweza kutoa mafunzo kwa wengine katika kufanikisha malengo ya watu na yake


                             
                                    UWAJIBIKAJIKA
Ni  utekeleza wa jambo ili kufika jambo Fulani
Hatua za uwajibikaji
1.      Jitahidi
2.      Usikate tama .Kukamilisha na ukimalize kama upo na mwenzio
3.      Kusaidia
4.      Kukuabiliana na matokea


Kuwajibika
Kujitambua
Umuhimu wa kutunza muda
Kuweka  malengo fanikishi


Comments

Popular posts from this blog

International Law

KATIBA YA KIKUNDI