NJIA YA KUWEKA AKIBA
AKIBA ni nini
Akiba  ni pesa ambayo inawekwa kwa malengo Fulani
Kuna aina mbili ya akiba kutoka na maleng
Akiba ya lazima
Akiba sio ya lazima
Mfumo wa kuweka akiba kutoka kwenye kipato
Kipato huwa asilimia 100%
Mgawanyo
20%   kuweka akiba
20%  matumizi ya kijamii mfano misaada ,michango ya harusi
40%  matumizi ya msingi kula ,kuvaa
20% uwekazi mfano ununuzi wa simu 
NJIA NZURI YA KUWEKA AKIBA
Vikoba
Bank
Upato,mchezo
Simu bank
Kibubu

VIKOBA NA VIKUNDI
Huu ni mtindo ambayo ulianzishwa kwa lengo la kusaidia wanawake kuweza kujiendeleza kimaendelo kwa kuweka akiba na kukopesha . Mfumo huu unaendeshwa na katiba ambayo inasimamiwa na viongozi ,Utumia mfumo wa kuweka fedha kwa kununua hisa ,pia kuweka fedha kwa mfuko wa jamii
Faida zake
Husaidia kushilikia katika mambo ya kimaendeleo pia kuuza na kunununa bidhaa mbalimbali za wajasilimali .
BANK
Bank nyingi zinakuwa mfumo mbalimbali za kuweka aikiba mfano
Saving account  ambayo unaeka fedha bila makato na unapata bonas kwa NMB na CRDB
Fixed account hii unawe bila kutoa kwa muda maalumu.
Current  account hutumiwa na watu wenye fedha zaidi
 KIBUBU
Njia hii haishauriwi san maana inachangamoto ya kuto kutambulika na watu kwenye mambo ya kifedha  japo inasidia
 MICHEZO /UPATU
Njia hii ni nzuri maana mnachanga pesa kasha anapewa mmoja mmoja kulingana na mfumo wa mchezo husaidia sana kwa wajasiliamali ila  taasisi za kifedha ina kuwa kugu kukuamini ili kupata mkopo
SIMU BANK
Hii ni mtandoo za simu mbalimbali ambayo inaweza kuku saidia kusaidia kuweka pesa kwa haraka na pia inatoka mkopo.
M PESA
HALLO PESA
T PESA


Comments

Popular posts from this blog

Information technology

MKATABA WA KUPANGA NYUMBA

Unominishaji,