SIFA ZA CHOO BORA
Nchi Tanzania kupita wizara ya afya inahamasiha watanzania kujenga choo bora katika nchi yetu.Hivyo vijana wa kitanzania ni fursa kwa kujenga vyoo bora huku ukijipatia kipato .CLOUD MEDIA GROUP kupita kauli mbiu “ya usichukulie bora nyumba ni choo “imeweza kufanikiwa  kuhamasisha watu kujenga vyoo bora mchini
Zifuatazo ni sifa za choo bora
Ukuta
Choo bora lazima kiwe na ukuta unaweza kusaidia kustili mtumiaji  ili aweze kuwa na raha kipidi chote akiwa chooni hivyo ni muhimu sna kuwa na choo chenye ukuta.
Mlango 
Ukiwa na mlango bora  inakuwanya kuwa huru katika kutumia choooo bar hivyo tunashauriwa kuwa na choo  chenye malango
Sakafu nzuri
Inasidia kupuguza kutambaa kwa waduu ambao wanatokana na uchafu wa chooni
Paa  na shimo nzuri
Husaidiana kutuia jua na mvua pia shimo linasaidia kupunguza harufu chooni
By godluk kawonga
Chanzo Godluck kawonga
              0758315397
Kwa maelezo zaidi
 www.fursaconsultancy.co.tz


Comments

Popular posts from this blog

Information technology

MKATABA WA KUPANGA NYUMBA

Unominishaji,