FOMU YA KUJIUNGA NA UMOJA WA WANACHUO
UMOJA
WA MWANACHUO STEMMUCO ni kikundi kilichoanzishwa katika wilaya ya mtwara mjini .kikundi kimeanzishwa 1/11/2018
KINACHOTAMBULIKA NA CHUO.Uongozi wa
kikundi unapokea maombi ya kujiunga na kikundi ili kuendeleza kikundi na
kusaidiana kijamii na kiuchumi. Dhamira kuu ya kikundi ni kuzalisha, kutoa
huduma katika jamii pia mambo yote ya ujasilimali ili kufika uchumi wa viwanda
.tunatarajia ifikapo 2021 kufungua kampuni .
Madhuni
ya kikundi
I. Kutoa
mtaji kwa mwanachuo unapomaliza chuo
II. Kutoa
elimu ya utunzaji fedha na kuwekeza katika miradi mbalimbali.
III. Kuwaelimisha
vijana kujihusisha na ujasiriamali kwa kuwatengenezea mazingira rafiki mfano
IV. Kutoa
elimu juu ya maambukizi ya virusi vya ukimwi
V. Kutoa
elimu juu ya utunzaji mazingira
VI. Kutoa
elimu ya matumizi ya tehema mfano komputer
Zifuatazo
ni sifa za mwanachama mpya
I.
Awe ni mtanzania kuanzia miaka 18+
II.
Awe
anaweza kutoa ada 20,00
III.
Awe anaweza kutoa mchango
IV.
Awe anaheshimu uongozi wa kikundi uliochaguliwa
V.
Awe mtii na kusimamia na kulinda katiba
ya kikundi iliyopendendekezwa
VI.
Kugombea nafasi ya uongozi na kuchangia
maoni katika kikundi kufikia malengo ya kikundi
VII.
Awe mwanachuo
Viambatanisho
1.Fomu ya usajili wa
chuo,kitambulisho cha chuo
2.Lazima awe na
kitambulisho kama ID ya mpiga kura ,ID ya taifa au leseni ya udereva( kama
vipo)
Taarifa binafsi
Jina
la mwombaji (yote) ……………………………………………………..…jinsia ………….
Anuani
ya makazi ………………………………… namba ya simu ……………………………..
Ujuzi,fani………………………………….
Maoni
binafsi
……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………..
Taarifa
zote nilizotoa ni za kweli na kwa tatizo lolote ni wajibike. Pia nimesoma nakuelewa
kuelwa fomu ya kujiunga hivyo nimekubaliana na maelezo yote yalio tolewa hapo juu, nimekubaliana nayo na nitakuwa mtii na
kufuta taratibu zote za UMOJA WA MWANACHUO STEMMUCO .Endapo nitakosea
nitachukuliwa hatua kulinga na miongozo
ya katiba na fomu hii ,pia nitazingatia kanuni na sheria za jamhuri ya muungano
wa TANZANIA .
JINA
LA MWOMBAJI ………………………………….. SAHIHI……………………………...
TEREHE……………………………
UONGOZI WA UMOJA WA
MWANACHUO STEMMUCO
JINA
…………………………………………………. SAHIHI…………………………..
CHEO………………………………….
TEREHE………………………………
MAWASLIANO
Mwenyekiti 0758315397
Katibu 0766592772
maoni yangu ninataka kujua na kupata ushauri hiyo fomu nina ipataje na baada ya kupata fomu ninafanyje
ReplyDeleteKHAIRAT JUMA MOH'D
Deletekhairat juma moh'd
ReplyDeleteNAPENDA NIJUWE WAPI UNAPATA HIYO FOMU
ReplyDeletecall 0758315397
Delete