MUONGOZO WA UMOJA WA WANACHUO STEMMUCO 2018-2019


                                          MHUTASALI WA KIKUNDI
AGENDA:
a)      KUFUNGUA KIKAO
b) UCHANGUZ WA UONGOZI
c) KUANZISHA UMOJA WA MWANACHUO STEMMUCO
D) KUTUNZA PESA
E) KUFUNGAKIKAO

A)    KUFUNGUA KIKAO
Mwenyekiti waatafungua kikao mnamosaa 4;00 baada ya kuona mahudhurio yanaridhisha.
B)     UCHANGUZ WA UONGOZI
Wanachama walipendekeza kufanya uchaguzi wa viongozi, walitoa nafasi ya mwnekiti,katibu,na muasibu . waliochanguliwa.
Mwenyekiti : GODLUCK KAWONGA
Katibu: LAZARO KAPINGA
Msaisidizi ISMAIL KAUPO
Mhasibu CHRISTOPHER KAPANGA
Msaidizi  AGRIN KOMBA
C)    KUANZISHA UMOJA WA MWANACHUO STEMMUCO
Wajumbe walipendekeza dhima ya kuunda kikundi katika mambo yafutayo :
1.      Kutoa mikopo kwa wanachama kwa masharti nafuu kama mfumo wa kikundi  unavyo eleza.
2.      Kutoa mafunzo ya kina kwa wanakikundi juu ya kuweka fedha, kukopeshana na faida ya kurejesha mikopo kwa wakati.
3.      Kutoa mikopo kwa wanachama kwa riba nafuu
4.      kupunguza umaskini wa kipato kwa kuhamasiha kukopa na kurejesha mikopo hiyo kwa wakati.
5.      Kuhamsisha wanakikundi kufanya shughuli zingine za kijamii kama vile kutunza mazingira, kuwahudumia watoto yatima, kutoa mafunzo kwa watu wanaoishi na mambukizi ya virusi vya Ukimwi, kudumisha mahusiano ya dini mbalimbali na kudumisha amani na upendo katika jamii.
6.      Kuanzisha na kuendeleza shughuli yoyote ya ki-uchumi na kijamii kwa manufaa ya kikundi kama itakavyo kubaliwa na vikundi vyote.
7.      Kutoa ushauri/elimu ya ki-uchumi, kifedha, kibiashara kilimo, ufugaji na masuala mtambuka kwa vikundi na hata jamii inayotuzunguka.
8.      Uwekazaji na kuweka akiba kwa malengo .



D)    KUTUNZA PESA
Wajumbe walipendekeza njia mbalimbali ya kuweka njia nzuri na bora ya kuweka pesa mfano kufungua account .NMB CHAP CHAP ACCOUNT
E)KUFUNGA KIKAO
Mwenyekiti alifunga mkutano mnamo saa 6;00
MAHUDHURIO
N
JINA LA MWANACHAMA
WASIFU
SAHIHI
1
GODLUCK H. KAWONGA
MWENYEKITI

2
CHRISTOPHER  KAPANGA
MHASIBU

3
LAZARO  KAPINGA
KATIBU

4
ISMAIL KAUPO
KT MWENEZI

5
AGRIN KOMBA
MHASIBU MSD



Comments

Popular posts from this blog

International Law

KATIBA YA KIKUNDI