MFANO WA MKATABA WA MKOPO


Mkopo unatotolewa ili kuweza kuwasaidia wanachuo katika shida mbalimbali. Makubaliano yanayofanywa baina ya mkopeshaji na mkopaji.Kwa lengo la kusaidizana kimaisha.Mkopo unatolewa na VACK GROUP
  VIGEZO NA MASHARTI KWA MKOPAJI
1.      Lazima awe mwanachuo/Mtanzania
2.      Lazima awenavitambulisho kama ID ya mpiga kura, ID yataifa au Lesini ya udereva
3.      Awe na mdhamini.
MKOPAJI
Mimi                                                         nimekubali kukopa   kwa mashariti na vigezo vilivyoweka  au kutolewa ,nilikiwa  na akili zangu timamu  na kwa ridhaa yangu  mwenywe  leo tarehe ___/___/______.Hivyo  basi  nahaidi  nitakuwa  mwaminifu  na kutimiza  mkataba kiakamilifu bila usumbufu  wa aina yoyote ile asante.
MAKABIZIANO YA PESA
Mimi ______________________________ namkopesha ________________________________ kiasi cha shilingi ________________________________ kwa tarakimu ______________ kwanzia tarehe___/___/______ hadi tarehe ___/___/______ ambayo itakuwa pesa taslimu ya shilingi _________________
DHAMANA
N11

KI
1222



JINA NA SAHIHI
Mkopeshaji jina_________________________ sahihi ________namba   ……………….
Shahidi _________________________ sahihi _______________ namba ____________
Mkopaji      __________________________ sahihi _______________ namba ____________
Mdhamini   __________________________ sahihi _______________namba _____________
IMETHIBITISHWA UONGOZI WA CHUO
Jina _____________________________   Cheo_____ _______________________                        
Namba        ___________________________ter ___________________________
Sahihi_____________________________


Comments

Popular posts from this blog

International Law

KATIBA YA KIKUNDI