Unominishaji,


      Unominishaji, habwe na kavanja [2007] ni hali ya kuunda nomino kutoka katika kategolia nyingine ya neno. Kategolia hizi zinaaweza kuwa kitenzi, kivumishi, au nomino yenyewe. Hali hii ya uniminiashaji husababisha kuwepo kwa mofimu changamano zenye mofimu nying ndani yake.
Tuki {1981} ni kutoa neno katika kategolia moja na kuliingiza katika kategolia ya nomino.
Kwa ujumla unominishaji ni  kitendo cha kubadili neno kutoka kwenye kategolia nyingine ya neno  na kupeleka katika nomino.kwa hiyo mchakato huu hufanywa ili kupata nomino za lugha ya Kiswahili ,unominishaji pia husaidia sana katika kuongeza misamiati katika lugha ya Kiswahili hivyo basi tuangalie mchakato wa unominishaji kutokana na kategolia mbalimbali za lugha ya Kiswahili isipokua kategoria ya kitenzi ,na nomino yenyewe michakato hio ipo kama ifuatavyo hapo chini;
v Unominishaji katika vivumishi
Kivumishi – nomino
Unominisaji huu wa kivumishi hubadilika na kuwaa nomino
Tunaunda  nomino kutokana na vuvumush kwa kutumia viambisha awali cha unominishaji[U} pamoja na Mzizi wa nomino
Mfano                                           kanuni                               (unominishaji
Kivumishi                      =             {u}                                     {shina}-                                nomino
Baya                              =              {u}                       +            {baya}                  =              ubaya
Zuri                               =              {u}                        +            {zuri}                   =               uzuri
Kubwa                           =              {u}                         +           {kubwa}               =            ukubwa
Bora                               =               {u}                         +           {bora}                  =           ubora
Katili                              =              {u}                           +          {katili}                 =           ukatili
Chafu                         =              {u}                           +         [chafu}                  =          uchafu
Vivu                                 =              {u}                            +        {vivu}                    =          uvivu
v Unominishaji katika vielezi
Kuna baadhi ya vielezi hubadilika,kutokana na  kufanyiwa unominishaji unominishaji wa vielezi hutokea katika aina mbili  yaani katika vielezi vya mahali na vielezi vya namna  hii huweza kuwa kama ifuatayo;
Ø  Vielezi vya mahali  huweza kubadilika na kuwa nomino hiyo kutokana na kuondosha kiambishi “ni” mwizhoni mwa kielezi hicho hivyo  tunapata nomino.
Mfano
Kielezi                          Nomino
Jikoni                            jiko-“ni”
Hapa tumeona silabi “ni” imeondolewa  tumepata nomino jiko
Kielezi                                nomino
Shambani                           shamba-“ni”
Hapa katika kielezi shambani tukiondoa  silabi “ni” tunapata nomino shamba  hilo limetokana baada ya kuondoa silabi “ni”
Mifano mingine ni kama vile shuleni –tukiondoa nitunapata shule
Kanisani tunapata kanisa
Kabulini tunapata  kabuli
Kabatini tunapata kabati
Ø  vielezi vya namna hivyo hupelekea mchakato wa unominishaji na  kielezi hicho hubadilikana kuwa nomino kwa mfano
Mary anaimba vizuri
Vizuri {kielezi}-nomino-uzuri
Vibaya{kielezi}-nomino –ubaya
Hitimisho
Kwa hiyo mchakato wa unominishaji hauwezi kutokea katika kategoriaya neno mchakato huu hufanyika kwenye kategoria chachetu za maneno   madhara ni katika vivumishi,vitenzi,nomino yenyewe na vielezi hiyo  mchakato wa unomishaji hubagua baadhi ya kategoria kwa mfano
Kiunganishi hakiwezi kupokea unominishaji ,kihusishi.na kihisishi.


 MAREJEO

Tuki{1981}kamusi ya Kiswahili sanifu
Hambwe na  Kavanje{2007}





Comments

Popular posts from this blog

Information technology

MKATABA WA KUPANGA NYUMBA