USHAURI KWA WANACHUO WOTE

MAMBO MUHIMU AMBAYO WANACHUO ANAWEZA KUFANYA NA KUPATA KIPATO 
AKIWA CHUONI       HABARI
Naitwa GODLUCK HYASINT KAWONGA  ni mwanchuo wa SAUTI (MTWARA) ambaye nasoma ualimu pia ni ujuzu wa mambo mbalimbali amboa nimeweza kutumia na kunipatika kipato kwa kiasi kikubwa .Ni ngumu sana mwanachuo kusoma  bila kupata  mkopo ila kwa kufuta ushauri huu unaweza kukasoma na kuwasaidia  wanachuo mwengine (2019)
     

          Tabia za kuzingatia ili uweze  kupata fedha ukiwa chuoni 

chagua marafiki ambayo anaweza  kubadili maisha yako ukiwa chuo au ukimaliza 
Acha kununua vitu ya dhamani kubwa ambayo hawikuingizii kipato mfano simu ,sofa,kabati 
cha msingi nunua vitu kulinga na mahitaji 

Ikumbukwe kuwa kila kitu ni tabia  hivyo hata biashara inatabia zake ambazo unatikiwa kufata ambazo ni 

  1. Penda kujinza mara kwa mara vitu ambayo vinaweza kupungu matumizi  ya fedha mfano; kutengeneza simu,kutengeneza komputa  n.k 
  2. kuweka akiba na kuwekeza iwe miongoni wa tabia zako 
  3. kutoa ushauri kwa wajasilimali wengine na kuwasaidia kupata masoko 
  4. kushirikia na watu mbalimbali waliokuzidi na uliowazidi  
  5. tafuta jina litakutambulisha kibiahara  mfano G-VACK PRODUCTION ambalo unaweza kupata litakuwezesha kujishughulisha na vitu mfano  VACK COMPUTER,VACK GROUP ,VACK GAS SUPPLIES ,VACK FASTION,VACK MEDIA,VACK MUSIC ,VACK TUTION CENTER ,VACK TRANSPORT ,VACKLINE ,VACK STATIONARY .  

MAMBO AMBAYO UNAWEZA KUFANYA NA KUPATA FEDHA  YAFUATAYO 
  1. KUTAFUTA MASOKO .Wanachuo wengi wanahitaji biadha yingi na wanakuwa wageni hiyo unaweza ukawa dalali wa vyumba,kuingia mikataba na kampuni za ges,
  2. kutafuta uwakala mfano kusajili lain za chuo ,ges,
  3. kukopesha pesa kwa lengo la saidia .Unaweza kufanya pekee yako au mwezako kupitia ofisi ya chuo (serikali ya mwanafunzi )
  4. Unaweza kuuza juice,kuwa msusi ,kutengeze computer ,kufungua stationary 
  5. Unaweza kununua bodaboda  na wanachuo wengine wakawa wateja .
 kwa ufafanuzi zaidi kila jambo na faida zake endelezea kufuata fuatia au nichek 
NB.KUMBUKA CHUONI NDIO SEHEMU PEKEE AMBAYO WANAPATA ELA BILA KUFANYA KAZI,PIA NDIO SEHEMU AMBAYO WATU WANATUMUA ELA VIBAYA SANA 

Kwa mawasiliano 
 whatapp 0758315397  
                0788740962
inst vack prodution 






Comments

Popular posts from this blog

International Law

KATIBA YA KIKUNDI