Uhalisia
Senkoro F.E,M.K
(1987) fasihi na jamii ananukuu
Engles alieulezea uhalisia kwa
maneno yafuatayo; “Realism to
my implies besides
truth of detail
the truthful the
reproduction of typical
characters under typical circumstances”
Uhalisia ,nionavyo mimi,unamaanisha , zaidi ya kueleza jambo
katika undani wa ukweli wake , usawirishaji wa kikweli kweli wa wahusika, mahususi katika mazingira mahususi
…,katika uhalisia basi ,wahusika wa kazi
za safihi husawiriwa katika uhalisia wa maisha yao ya kila siku .kusawiriwa kuna zingatia
furaha ya mtu ,matamanio
yake,matazamio yake huzuni , matatizo na mengineyo .
Kazi za fasihi.ni kazi ambazo hutumia lugha kufikisha
ujumbe uliokusudiwa katika jamii husika.wasanii katika jamii zao huweza kutumia
lugha katika kuandika yale yaliyopo katika jamii ambayo ni uhalisia wa maisha ya jamii. msanii huandika kazi yake kwa kuionya jamii juu ya maovu na kuitaka jamii ifuate misingi iliyo chanya katika kuijenga jamii mpya,hivyo
mwandishi hutumia wahusika ambao hubebeshwa uhalisia wa maisha halisi ya jamii
yake. kwa kutumia kazi ya takadini iliyoandikwa Ben Hanson na
kazi ya Mfadhili iliyoandikwa na Hussein Tuwa usawirishaji wa
wahusika umejidhihilisha kama ifuatavyo,
Takadini.
Mtoto wa sekai na makwati ambaye nimuhanga wa
mila na desturi katika jamii
zinazo watenga walemavu
.alizaliwa na ulemavu wa ngozi akatengwa na jamii nzima ambapo sekai anatoloka
na mtoto
wake takadini ambapo baadae anapata mke shingai nakupata
mtoto asiye na ulemavu na
jamii inashangazwa na maisha
takadini kwamba kuwa mlemavu sio sababu
kutopata asiye na ulemavu .pia katka
jamii kuna wtoto wanaotengwa kama alivyotengwa takadini japo nao wanawza kufanya mambo
kama mtu asye na ulemavu
Sekai
Ni mama wa
takadini ambae nae muhanga wa mila na
desturi kwamba kupata mtoto mlemavu ni
kusasabisha matatizo/balaa katika
jamii.jambo lililopekea sekai
kutoloka kumuokoa mtoto wake kwahiyo
sekai ni mama jasiri na katika jamii
zetu baadhi ya wanawake
wanaujasiri na mapenzi kwa watoto wao
Makwati
Ni baba wa
takadini ambae ambae amshikria mila na
desturi zisizo faa na zimeptwa na wakati
anamimi kumpata mtoto mwenye ulemavu ni chanzo cha matatizo katka jamii anachukua jukumu la
kutaka kumuua mtoto wake hivyo makwati ni baba mkatili na anayefuata mila na dsturi katka mazingira halisi ya
jamii zetu
Mzee chivelo
Ni mzee aliye mpokea sekai na mtoto wak takadini na kwnda kuwaomba mtemi
masasa na wazee wawapatie makazi wapate kuishi .anaonsha mapenzi ya dhati kwa
takadini alimtibu alipo vunjwa muguu mpaka akapona pia anaenda kumuombea aweze kushiriki katika mashindano kupiga piano pia katika mazingira
halisi kuna watu na mashirika wanatoa
msaada kwa watu walemavu.
Nhamo
Ni kijina aliyefanya unyanyasaji na ubaguzi kwa
takadini alimvunja takadini alimzalau
takadini kwa sababu ya ulmavu.ni mtoto aliye pandikizwa na wazazi wake kwamba
kucheza na mtoto ni mwiko.kutokana na iman potofu watu katika mazingira
halisi watu uwatnga walmavu
katika mambo yote ya kimaisha wasijua
nao wanaweza kufanya kama wengine katka
jamii.
Shangai
Ni msichana
aliyempenda takadini na anaamua kuolewa na takadini alikuwa na mapenzi ya dhati
na jasiri wazazi wake walimkataza
kuolewa na takadini lakini
anachukua maamuzi kinyume na wazazi
na jamii kwa ujumla.katika uhalisa wa
mazingira katika jamii wasichana wenye mapenzi ya dhati hawabagui ulemavu wapo
kwa ajiri kumpatia mapenz ya
kweli na kufurahia ndoa.
Katika kitabu cha mfadhili kilicho andikwa na
Hussein tuwa anaonesha jinsi uhalisa ni usawirishaji wa kikwelikweli wa
wahusika halisi katika mazigira
halisi ya wakati maalum.
Mfadhili
Gaddibullah
Huyu alikuwa muhusika ambaye alijitoa muhunga kwa
dania alitoa figo ili dania apate kupona japo walikuwa kwenye mgogoro
kwa maana iyo muhuska gaddibullah pia ni mchapa kazi anonesha uhalisia wa watu wenye mapenzi dhati katika
jamii.katika jamii kuna watu wanamapenzi ya dhati wapo tayari kujitoa kwa ajili
ya kumuokoa mwenzake katika mazingira magumu.
Dania
Ni mschana anayefanya kazi chini ya usimazi wa mama mlole anaoneshwa kama mchapa kazi na muajibikaji , Dania anavurugwa
na usaliti alio fanya Jerry kutofika kwa
ajili kufunga ndoa lakini Jerry
anaporudi kuomba msamaha anasamehe jambo
linalosababisha hata utendaji wa
kazi unakuwa mdogo na msongo wa
mawazo.Pia katika jamii wasichana
wanajikita katika mapenzi na ufanisi wa
kazi unashuka wanaposalitiwa na wapenzi wao.
Nyambuja
Ni mke wa gaddibullah amechorwa na msanii katika usaliti anamuacha mume wake kwa kuandika barua ya
kuachana na kuiweka mezani jambo linapelekea mume wake ufanisi wake katika kazi
unashuka na msongo wa mawazo.Katika jamii kuna wanawake ambao
hawana mapenzi ya kweli kwa wanaume wao .
Jerry
Ni mpenzi
wake dania walizaa mtoto aliyeitwa junior
,jerry alimsaliti dania kwa kutofika siku ya kufunga ndoa na kwenda marekani
,pia katika mazinigira halisi wanaume uwasaliti wapenzi wao bila kujali
wamezaa nae mtoto.kwa iyo
muhusika jerry anasawiri uhalisa
wa uhusika.
Dr veran
Huyu ni muuguzi anaoneshwa kumuuguza Junior na Dania walipopatwa na dhoruba ya kuumwa
wanapelekwa hosptalini ambako daktari Veran anawajibika kuwauguza na
wanapona.Pia alitunza siri ya Gaddibullah
ambayo alimsaidia katika
kutoa figo ili amfadhili dania .hivyo
basi katika jamii yate pia tunao
madaktari ambao wanatunza siri na
kuwasaidia kwa kuwapa matitabu .
Hivyo basi fasihi huchota yanayofanywa na watu katika jamiii
ili kuonyesha uhalisia uliomo
ndani ya jamii kwa kuwatumia wahusika
kama hao waliotajwa hapo juu
kuonyesha matamanio yao ,mitazamo yao , kero na wakati mwingine majonzi.
Kwa hiyo fasihi ipo kwa ajili kuelimisha ,kufunza , na kufurahisha jamii iliyo
andikiwa kwa kufuata yale
yalioandikwa katika kazi ya fas
MAREJELEO
Senkoro
F.E,M. K (1987) Fasihi na Jamii ,Dar es
Salaam: Press and Publicity
Centre
Comments
Post a Comment