Bila kujali utata kati ya neon, kishazi, sentensi na kirai wanaisimu wa lugha ya Kiswahili wanaelekea kukubaliana kuwa muundo wa kirai kwa ujumla huwa na viambajengo viwili. Taja na kufafanua kwa mifano kutoka Kiswahili sanifu 4. Hoja kuwa sarufi ya lugha ya Kiswahili haiwezi kuruhusu wazungumzaji wake kutunga tungo kama vile mno mzuri mototo sana inatokana na sababu ipi inayobainika katika sarufi yake 5.Ni kwa namna gani kigezo cha kimofologia husibitisha kuwepo kwa kategolia za kileksika katika lugha ya Kiswahili. 7. Ni hoja gani katika ushahidi wa kimuundo hutumika kuthibitisha kuwa lugha ya kiwsahili ina kategoria za virai? .

 

3. Bila kujali utata kati ya neon, kishazi, sentensi na kirai wanaisimu wa lugha ya Kiswahili    wanaelekea kukubaliana kuwa muundo wa kirai kwa ujumla huwa na viambajengo        viwili. Taja na kufafanua kwa mifano kutoka Kiswahili sanifu

4. Hoja kuwa sarufi ya lugha ya Kiswahili haiwezi kuruhusu wazungumzaji wake kutunga     tungo kama vile mno mzuri mototo sana inatokana na sababu ipi inayobainika katika            sarufi yake

5.Ni kwa namna gani kigezo cha kimofologia husibitisha kuwepo kwa kategolia za kileksika katika lugha ya Kiswahili.

7. Ni hoja gani katika ushahidi wa kimuundo hutumika kuthibitisha kuwa lugha ya kiwsahili ina kategoria za virai?

.                

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

1.a) Katika kielezo

KN na KT Ni viambajengo

Ni fundo mama vya fundo S ambavyo vinawakilisha kirai Nomino na kirai kitenzi Katika mchanganuo wa sentensi

B). Viambajengo visotamati ni KN na KT

Mfano.mwanafunzi mgeni anaandika

C).fundo S huitwa fundo mzizi ambao hutawala KN na KT

D). viambajengo vilivyo hatua moja chini au kulia mwa kiambajengo kingine vinaitwa kiima na kiarifu,  kiarifu huwa upande wa kulia ndicho ambacho hukaliwa na kirai kitenzi.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

2.Ushahidi wa kifonolojia

Katika ushahidi huu kigezo kinachotumiwa ni mkazo au shadda. Neno moja linakuwa katika kategoria tofauti kutokana na uwekaji wa mkazo. Tutazame mifano ifuatayo:

1) Wanafunzi wote wameadhibiwa barabara

 2) wafanyakazi wamefanya Kaz za barabara

3) We need to imPORT new technology

4) We need an IMport of new technology .

Katika mifano hiyo hapo juu, neno la mwisho katika sentensi 1 ni kielezi na katika sentensi 2 ni nomino. Katika sentensi 3 neno la nne ni kitenzi na neno hilohilo katika sentensi 4 ni nomino. Maneno ni yaleyale lakini yamekuwa katika kategoria tofauti kutokana na uwekaji wa mkazo mahali tofauti. Hivyo Basi mkazo unathibitisha kuwapo kwa kategoria za kileksika. Unathibitisha kuwa kuna kategoria mbili za neno moja. Hapa tunaona kuwa kanuni fulani za kifonolojia lazima zijue taarifa za kikategoria kabla ya kutumika.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

5. Ushahidi wa kimofolojia

Katika ushahidi wa kimofolojia  kinachoangaliwa ni uambikatizi. Viambishi fulani vya kisarufi huweza kuambikwa kwenye maneno yaliyo katika kategoria fulani tu na haviwezi kuambikwa kwenye maneno ya kategoria tofauti.Kwa mfano,

O’Graddy (1996) anasema katika lugha ya Kiingereza kiambishi cha wingi –s huambikwa kwenye maneno ya kategoria ya nomino, kiambishi cha njeo iliyopita –ed na cha hali ya kuendelea huambikwa kwenye vitenzi, na viambishi vya ukadirifu -er, -est huambikwa kwenye vivumishi. Vivyo hivyo, katika lugha ya Kiswahili, viambishi vya idadi na ngeli huambikwa katika nomino na vivumishi, viambishi vya njeo, kauli, na usababishi huambikwa katika vitenzi n.k.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

7.Ushaidi wa kisintaksia ndio unaotumika kuthibitisha kwamba lugha ya kiswahili inakategoria za virai.tunatazama kuwa  sintaksia yaani jinsi maneno yanavyotawanywa kwa kufuata luwadha fulan kwa kigezo Cha kimofolojia au kisintaksia.

Kirai Ni neno au fungus la maneno ambayo kwa pamoja hutoa taarifa fulani.kirai huundwa kwa Aina  kuu za maneno.

Mf.kirai nomino-mfano: baba na mama

 Kirai kivumishi-mfano:kikombe kizuri sana

Kirai kitenzi-mfano:anapika chakula

Kirai kielezi-mfano:kesho asubuhikirai kihusishi-kwa gari

Kirai kiunganishi-mfano:walakini,isipokuwa

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

MAREJEO

Habwe, J na P. Karanja (2007). Misingi ya Sarufi ya Kiswahili. Nairobi: Phoenix Publishers Ltd.

Massamba, D.P.B na wenzake (1999). Sarufi Miundo ya Kiswahili Sanifu: Sekondari na Vyuo. Dar essalaam: TUKI.

Massamba na wenzake (2009). Sarufi Miundo ya Kiswahili Sanifu: Sekondari na vyuo.Dar essalaam: TUKI.

Matinde, S. (2012). Dafina ya Lugha, Isimu na Nadharia: Sekondari na vyuo vya kati na Vikuu. Serengeti Educational Publishers.

Kihore  Y, na wenzake (2012). Safufi Maumbo ya Kiswahili Sanifu. Chuo kikuu cha Dar es salaam.

 

Comments

Popular posts from this blog

International Law

KATIBA YA KIKUNDI