FOMU YA KUJIUNGA NA UMOJA WA WANACHUO
UMOJA WA MWANACHUO STEMMUCO ni kikundi kilichoanzishwa katika wilaya ya mtwara mjini .kikundi kimeanzishwa 1/11/2018 KINACHOTAMBULIKA NA CHUO.Uongozi wa kikundi unapokea maombi ya kujiunga na kikundi ili kuendeleza kikundi na kusaidiana kijamii na kiuchumi. Dhamira kuu ya kikundi ni kuzalisha, kutoa huduma katika jamii pia mambo yote ya ujasilimali ili kufika uchumi wa viwanda .tunatarajia ifikapo 2021 kufungua kampuni . Madhuni ya kikundi I. Kutoa mtaji kwa mwanachuo unapomaliza chuo II. Kutoa elimu ya utunzaji fedha na kuwekeza katika miradi mbalimbali. III. Kuwaelimisha vijana kujihusisha na ujasiriamali kwa kuwatengenezea mazingira rafiki mfano IV. Kutoa elimu juu ya maambukizi ya virusi vya ukimwi V. Kutoa elimu juu ya utunzaji mazingira VI. Kutoa elimu ya matumizi ya tehema mfano komputer Zifuatazo ni sifa za mwanachama mpya I. ...